CHAMA CHA KISWAHILI CHA TAIFA
KENYA

TAALUMA ni jarida la kimataifa la Chama cha Kiswahili cha Taifa-Kenya (CHAKITA). Jarida hili hutokea mara moja kwa mwaka (Novemba) na huchapisha makala ambazo hazijawahi kuchapishwa katika taaluma ya Lugha, Isimu na Fasihi ya Kiswahili na lugha nyingine za Kiafrika. 

HISTORIA FUPI YA CHAMA CHA KISWAHILI CHA TAIFA – KENYA (CHAKITA)

Wazo la kubuniwa kwa Chama cha Kiswahili lilianzishwa mwaka wa 1997 katika Kongamano lililoandaliwa na Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Moi.  Lengo la kongamano hilo lilikuwa ni kutathmini iwapo kulikuwa na uwezekano wa kuwa na kongamano ambalo lingewaleta pamoja wataalam wa Kiswahili nchini Kenya

Soma Zaidi…

Kongamano La 2023

Baadhi Ya Machapisho Yetu

Maana na Maumbo ya Unyambulishaji wa Vitenzi katika Kigĩchũgũ

Unyambulishaji wa vitenzi ni mojawapo ya masuala yanayoshughulikiwa katika taaluma ya mofolojia katika lugha nyingi za Kiafrika. Makala hii inashughulikia unyambulishaji wa vitenzi katika Kigĩchũgũ, kwa kufafanua maana zinazowakilishwa na maumbo mbalimbali katika Kigĩchũgũ. Katika uainishaji...

Soma Makala

Lugha na Uana: Sakata ya Nafsi

Lugha ni asasi aali ambayo wanadamu hutumia kuwasiliana mbali na kuwarahisishia kazi. Hata hivyo, asasi hii imetumiwa tangu azali kuzifinyanga nafsi za waja ili kubainisha tofauti baina ya wanaume na wanawake. Sakata hii ya nafsi imeendelea...

Soma Makala

TAALUMA

TAALUMA ni jarida la kimataifa la Chama cha Kiswahili cha Taifa-Kenya (CHAKITA). Jarida hili hutokea mara mbili kwa mwaka (Julai na Novemba) na huchapisha makala ambazo hazijawahi kuchapishwa katika taaluma ya Lugha, Isimu na Fasihi ya...

Soma Makala

Viongozi wa CHAKITA

JIUNGE NASI ILI KUPOKEA MACHAPISHO KWENYE BARUA PEPE

Jarida hili hutokea mara moja kwa mwaka (Novemba) na huchapisha makala ambazo hazijawahi kuchapishwa katika taaluma ya Lugha, Isimu na Fasihi ya Kiswahili na lugha nyingine za Kiafrika. Makala yasiyozingatia masharti yaliyowekwa na wahariri hayawezi kuchapishwa.