Luganda na Kiswahili sanifu hutumia mfumo...
Soma MakalaHISTORIA FUPI YA CHAMA CHA KISWAHILI CHA TAIFA – KENYA (CHAKITA)
Wazo la kubuniwa kwa Chama cha Kiswahili lilianzishwa mwaka wa 1997 katika Kongamano lililoandaliwa na Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Moi. Lengo la kongamano hilo lilikuwa ni kutathmini iwapo kulikuwa na uwezekano wa kuwa na kongamano ambalo lingewaleta pamoja wataalam wa Kiswahili nchini Kenya
Kongamano La 2021
Kongamano la 2021 litafanyika katika Kaunti ya Baringo
(Kenya School of Government), mjini Kabarnet
Tarehe 25 – 26 November 2021
Baadhi Ya Machapisho Yetu
Ufupishaji kama Mkakati wa
Teknolojia ya Kompyuta imepenyeza takriban kila...
Soma MakalaNafasi ya Utamaduni katika
Wataalamu wengi wanakubaliana kwamba kuna uhusiano...
Soma MakalaNadharia ya Metausasa katika
Fasihi imepitia mabadiliko kadha katika makuzi...
Soma Makala