Ulimwengu wa sasa umeshuhudia athari chanya na hasi katika matumizi ya teknolojia. Kwa hakika, karibu kila eneo la maisha ya binadamu katika ulimwengu wa sasa linashuhudia matumizi ya aina mbalimbali za teknolojia katika sekta mbalimbali, iwe...
Soma MakalaHISTORIA FUPI YA CHAMA CHA KISWAHILI CHA TAIFA – KENYA (CHAKITA)
Wazo la kubuniwa kwa Chama cha Kiswahili lilianzishwa mwaka wa 1997 katika Kongamano lililoandaliwa na Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Moi. Lengo la kongamano hilo lilikuwa ni kutathmini iwapo kulikuwa na uwezekano wa kuwa na kongamano ambalo lingewaleta pamoja wataalam wa Kiswahili nchini Kenya
Kongamano La 2023

Baadhi Ya Machapisho Yetu
Ufupishaji kama Mkakati wa Uundaji wa Istilahi za Kiswahili zinazotumika katika Kompyuta
Teknolojia ya Kompyuta imepenyeza takriban kila kipengele cha maisha ya mwanadamu huku istilahi zikiwa kiungo cha kati katika mawasiliano ya kiufundi. Mojawapo ya sifa kuu zinazobainisha istilahi zilizoundwa kwa ufupisho ni maumbo yaliyopunguzwa kwa lengo la...
Soma MakalaMaana na Maumbo ya Unyambulishaji wa Vitenzi katika Kigĩchũgũ
Unyambulishaji wa vitenzi ni mojawapo ya masuala yanayoshughulikiwa katika taaluma ya mofolojia katika lugha nyingi za Kiafrika. Makala hii inashughulikia unyambulishaji wa vitenzi katika Kigĩchũgũ, kwa kufafanua maana zinazowakilishwa na maumbo mbalimbali katika Kigĩchũgũ. Katika uainishaji...
Soma MakalaLugha na Uana: Sakata ya Nafsi
Lugha ni asasi aali ambayo wanadamu hutumia kuwasiliana mbali na kuwarahisishia kazi. Hata hivyo, asasi hii imetumiwa tangu azali kuzifinyanga nafsi za waja ili kubainisha tofauti baina ya wanaume na wanawake. Sakata hii ya nafsi imeendelea...
Soma MakalaNafasi ya Kiswahili katika Utekelezaji wa Ajenda Nne Kuu: Uzalishaji Viwandani
Mnamo mwaka wa 2008, serikali ya Kenya ilizindua ruwaza ya 2030. Ruwaza hii inalenga kubadilisha taifa la Kenya kuwa taifa linaloinukia kiviwanda, lenye mapato ya wastani, na ambalo litawapokeza wananchi wake hali ya juu ya maisha...
Soma MakalaUhakiki Linganishi wa Kimofosintaksia katika Ngeli za Luganda na Kiswahili Sanifu
Luganda na Kiswahili sanifu hutumia mfumo mmoja wa uianishaji wa ngeli. Licha ya kuwa lugha hizi ni za nasaba moja, zinadhihirisha upekee katika uainishaji na matumizi ya ngeli kimofolojia na kisintaksia. Makala hii inachunguza uwiano na...
Soma MakalaUfupishaji kama Mkakati wa Uundaji wa Istilahi za Kiswahili zinazotumika katika Kompyuta
Teknolojia ya Kompyuta imepenyeza takriban kila kipengele cha maisha ya mwanadamu huku istilahi zikiwa kiungo cha kati katika mawasiliano ya kiufundi. Mojawapo ya sifa kuu zinazobainisha istilahi zilizoundwa kwa ufupisho ni maumbo yaliyopunguzwa kwa lengo la...
Soma MakalaUchi kama Mkakati wa Kuimarisha Usalama miongoni mwa Babukusu katika Utendaji wa Embalu
Suala la uchi linajitokeza katika nyanja mbalimbali katika jamii zote ulimwenguni. Aidha, dini ndiyo moja kati ya asasi kongwe ambayo inajengwa zaidi na suala la uchi. Jijini Nairobi, mbele ya Mahakama ya Upeo, kuna sanamu ya...
Soma MakalaTAALUMA
TAALUMA ni jarida la kimataifa la Chama cha Kiswahili cha Taifa-Kenya (CHAKITA). Jarida hili hutokea mara mbili kwa mwaka (Julai na Novemba) na huchapisha makala ambazo hazijawahi kuchapishwa katika taaluma ya Lugha, Isimu na Fasihi ya...
Soma Makala